AMKA NA KURASA ZA MAGAZETI PENDWA YA LEO NCHINI KUPITIA TOVUTI YAKO PENDWA YA DAIMA NEWS

Stori kubwa katika kurasa za leo za Magazeti ni pamoja na hatima ya wagombea Ubunge CCM kujulikana kesho, walioongoza kura za maoni, walioshindwa Manzi ga nyama.

Vigezo uadilifu, elimu kuwang'oa makumi ya wagombea, Tarime wamuandikia barua katibu Mkuu CCM, ahadi lukuki wagombea Urais, vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi vyaweka Wagombea.















0 Maoni