TUMEJIFUNZA NINI KUTOKA KWA DOCTOR MWAKA TABIBU BINGWA WA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME


Kwanza nianze kuwaeleza Doctor mwaka ni nani? Huyu ni Daktari bingwa wa uzazi kwa wanawake na wanaume anapatikana kwenye Cliniki yake maeneo ya Ilala Bungoni mtaalamu huyu ni raia wa Tanzania ambaye anafanya kazi kubwa ya kuwasaidia watanzania wenzake kwenye matatizo makubwa katika sekta ya afya hususani katika tatizo hili sugu la uzazi.
Ninapomaanisha ni tatizo sugu kwani ni matatizo ambayo yamesababisha ndoa nyingi kusambaratika katika jamii yetu ya kitanzania. Chanzo chetu cha habari kimefanya utafiti kwa watu mbalimbali waliopata tiba katika kliniki ya Doctor Mwaka, walipona na kuondokana na matatizo yao ya uzazi hata mimi mwandishi wa makala hii ni mmoja wa walionufaika na kliniki hii.

Nije kwenye mada yangu Doctor Mwaka ametufundisha kidogo tunachopata tunapswa kukirudisha katika jamii mfano ni mashindano ya “Ndondo Doctor Mwaka cup”

Haya mashindano yamesaidia vijana wengi wa Jiji la Dar Es Salaam ambao wengi wao hawana ajira kutokana na tatizo sugu la ajira kwa vijana linaloikumba nchi yetu kwa kulitambua hilo Doctor Mwaka amewakutanisha vijana wengi na wadau wa mpira wa miguu ambao  wengi wameona vipaji vyao kupitia mashindano hayo.

Kwa utafiti tuliowafanya na timu yetu ya uchunguzi vijana wengi kupitia mashindano haya wamejiunga na ligi daraja la kwanza,  ligi kuu ya Vodacom pamoja na ligi daraja la pili inayotegewa kuanza hivi karibuni kutokana na mchango huu inaonyesha ni jinsi gani Dr. Mwaka amelisaidia Taifa lake kutatua tatizo la ajira.

Faida nyingie ya mashindano haya yamesaidia vijana kukutana na wadau mbalimbali ukiwa na (network) katika maisha ni kitu muhimu sana na kwa kipengele hichi Doctor Mwaka ameweza kuwakutanisha vijana wa Wilaya zote za Dar es Salaam na wadau wa sekta mbalimbali za kijamii katika Taifa hili.

Faida nyingine ya mashindano haya Doctor Mwaka amechangia katika maendeleo ya soka letu, kwani msingi wa kweli katika mpira wa miguu ni kuanzia chini kwa hili Doctor mwaka anastahili pongezi za dhati lakini inaonyesha jinsi  gani Viongozi wa soka wa nchi hii wameshindwa hata kumpongeza hata kwa kumshukuru hapa ninamaanisha Viongozi wa juu wa shirikisho la mpira wa miguu.

Kuna faida nyingi ambazo vijana wa Jiji la Dar es Salaam wamefaidika ambazo siwezi kuzimaliza ila ameifundisha jamii ya kitanzania ambao wanauwezo mkubwa wa kifedha waweze kuisaidia jamii ya kitanzania kama alivyofanya ndugu yetu Doctor Mwaka.

Mwisho ninawaasa watanzania wenzangu wenye matatizo ya uzazi inapotokea kuna matatizo katika uzazi yapaswa mfahamu matatizo haya sio kwa wanawake pekee wote wawili mke na mume mnapaswa kulifuatilia hili tatizo kwa pamoja na nanawashuri muwasiliane na kliniki ya Doctor Mwaka iliyopo maeno ya Ilala Bungeni.

Namba ya mwandishi wa Makala:    0715 919 292
Email Address: niccomediatz@gmail.com

0 Maoni