HANS POPPE: SIMBA INAAZA KAZI YA KUJENGA KIKOSI CHA KARNE

Poppe akimkabidhi jezi Daniel Akuffo


Na John Marandu Niccomediatz
Hans poppe Mwenyekit wa usajil Simba Fc
 Mwenyekiti wa kamati ya usajili wa klabu ya Simba  Zackaria Hans poppe amesema  kamati yake ya usajili, imepanga  kufanya usajili wa maana katika msimu ujao wa ligi kuu. Hivi sasa kamati  yake imeshaanza  mazungumzo  na baadhi ya wachezaji nyota hapa nchini ili waweze kujiunga na timu ya  simba katika  msimu wa 2016 – 2017  miongoni mwa nyota ambao wanaweza kusajiliwa na sImba msimu ujao ni Siomoni Msuva, Haruna Nionzima kutoka yanga na tayari mazungumzo ya awali yanafanywa kwa usiri mkubwa.
Katika uchunguzi wetu tumebaini mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo Musa Hassan Mgosi anaweza kurejea katika klabu yake pamoja  na beki tegemezi kutoka mtibwa  Hassan Mbande, pia klabu ya simba inauwezekano mkubwa wa Kuacha baadhi ya nyota wake wa kigeni ili iweze  kusajili wengine wa kimataifa anasema Poppe.
Poppe ambaye pia ni wmekezaji mkubwa nchin anahapa kuwa atahakikisha  Simba ya msimu ujao hakuna  wa kuzuia kutokana na uzoefu alionao katika kusajili, amewaomba wanasimba wakae mkao wa kushangilia timu yao kwa kuwa wao kama viongozi wamejipanga kuiendeleza  Simba ipate mafanikio makubwa.

Hans Poppe amekuwa kipenzi wa Simba SC  toka mwaka 1970 na aliendelea kuipenda zaidi na kujiita yeye ni dam dam na Simba SC baada ya mtanange hatari kati ya mtani wao wa jani Yanga Juni, 23 ,1973 ambapo Simba ilitoka kifua mbele kwa bao 1-0  kwa  mkwaju uliopigwa na Haidar Abeid katika Dk.68.aidar Abedi katika Dk. 68666666666666666 nnn

0 Maoni